Sunday, December 15, 2013

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,akitoa tamko lake la kuichangia Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM,(UVCCM)

Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM,(UVCCM) katika hafla ya Harambee kufanikisha matembezi katika maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,iliyofanyika leo katika Bwalo la Maafisa wa Polisi,Oysterbay Jijini Dar es Salaam,(kulia) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar.

No comments:

Post a Comment